Back to home
Waziri wa usalama asema polisi hawakufahamishwa kuhusu mkutano wa ODM Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
2h ago
Waziri wa Usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amesema kuwa polisi hawakufahamishwa mapema kuhusu mkutano ulioongozwa na Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado jumapili iliyopita.
Advertisement
Advertisement





