Back to home

Waziri wa usalama asema polisi hawakufahamishwa kuhusu mkutano wa ODM Kajiado

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
2h ago
Waziri wa Usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amesema kuwa polisi hawakufahamishwa mapema kuhusu mkutano ulioongozwa na Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado jumapili iliyopita.
Advertisement