Back to home
Serikali imetoa shilingi milioni 700 kwa upanuzi wa hospitali ya Kilgoris level 4
video
C
Citizen TV (Youtube)February 19, 2026
4h ago
Serikali Kuu imetangaza kutoa shilingi milioni 700 kwa upanuzi wa hospitali ya Kilgoris level 4 huku wanasiasa wakihimizwa kuzika tofauti zao ili kufanikisha utoaji wa hatimiliki ya ardhi ya ekari 30-50 kwa shughuli hiyo.
Akizungumza katika mkutano na maafisa wa ngazi za juu kuto
Advertisement
Advertisement



