Back to home

Serikali imetoa shilingi milioni 700 kwa upanuzi wa hospitali ya Kilgoris level 4

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 19, 2026
4h ago
Serikali Kuu imetangaza kutoa shilingi milioni 700 kwa upanuzi wa hospitali ya Kilgoris level 4 huku wanasiasa wakihimizwa kuzika tofauti zao ili kufanikisha utoaji wa hatimiliki ya ardhi ya ekari 30-50 kwa shughuli hiyo. Akizungumza katika mkutano na maafisa wa ngazi za juu kuto
Advertisement