Back to home
Wakulima kutoka Kajiado Kaskazini wamehimizwa kupanda mazao yanayostahimili ukame
video
C
Citizen TV (Youtube)February 19, 2026
1w ago
Wakulima kutoka Kajiado Kaskazini wamehimizwa kupanda mazao yanayostahimili ukame, nyasi za mifugo, na kufanya kilimo mseto ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga.
Katika mkutano wa kupanga mikakati ya msimu wa mvua, ambao ulihudhuriwa na watabiri wa hali ya anga, na washi
Advertisement
Advertisement





