Back to home

Watangazaji wa Chamgei FM watoa msaada kwa familia ya watoto watatu wenye ulemavu wa ubongo

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 21, 2026
3h ago
Watangazaji kituo cha Chamgei Fm waliitembelea familia inayowalea watoto watatu wanaopooza kwa ubongo na kutoa msaada wa chakula na mahitaji mengine
Advertisement