Back to home
Walimu wa watoto wenye mahitaji maalumu wakusanyika Mombasa kwa warsha ya kitaifa ya tatu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 21, 2026
3h ago
Walimu wanaofunza watoto wenye mahitaji maalumu wamekusanyika likoni Mombasa kwa warsha ya tatu ya mafunzo ya kitaifa, iliyoandaliwa na chama cha michezo kwa wasioweza kuona na wizara ya elimu.
Advertisement
Advertisement





