Back to home
Jambazi sugu Mombasa arudi shule baada ya kunusurika kifo huku wengine 13 wakijisalimisha
video
C
Citizen TV (Youtube)February 21, 2026
3h ago
Kijana mmoja ambaye alifahamika kama jambazi sugu aliyekuwa akiendeleza wizi wa mabavu katika mitaa ya ziwa la ngome na maweni huko nyali kaunti ya mombasa, amegeuza mkondo wa maisha baada ya kunusurika kifo. Dennis Munyoki, mwenye umri wa miaka 20, alikodolea macho kifo alipopig
Advertisement
Advertisement



