Back to home

Wanafunzi wanane wazuiliwa huku uchunguzi wa moto wa Utumishi Gilgil ukiendelea

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 30, 2026
1h ago
Wanafunzi wanane wanaotuhumiwa kwa kusababisha moto uliokatiza maisha ya wanafunzi 16 katika bweni la shule ya wasichana ya Utumishi huko Gilgil wazuiliwa katika vituo mbali mbali vya polisi katika kaunti ya Nakuru, wakisubiri kufikishwa mahakamani. Aidha kufikia sasa, watu 60 wa
Advertisement