Back to home
Shabana FC yarudi nafasi ya tatu ligi kuu baada ya kuifunga Tusker 1-0 uwanjani Gusii
video
C
Citizen TV (Youtube)February 21, 2026
3h ago
Shabana Fc imerudi tena kwenye nafasi ya tatu katika ligi kuu ya kandanda nchini kufuatia ushindi wa moja bila dhidi ya Tusker uwanjani Gusii
Advertisement
Advertisement





