Back to home
Mbunge Machele aikemea vikali hospitali ya rufaa ya Pwani kufuatia madai ya utepetevu
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 21, 2026
3h ago
Mbunge wa Mvita Mohammed Machele ameikemea vikali hospitali ya rufaa ya Pwani kufuatia malalamishi kutoka kwa familia moja jijini Mombasa, inayodai kuwa jamaa yao alipoteza maisha kutokana na kile wanachokitaja kama uzembe na kucheleweshwa kwa matibabu .
Subscribe and watch NTV
Advertisement
Advertisement



