Back to home

Serikali inasema sio kila mtu atapewa dawa mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
2h ago
Serikali sasa inasema sio kila mtu anayetaka kupewa dawa mpya za kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV, atapewa dawa hizo. Badala yake, kuna masharti ambayo ni lazima yatimizwe kwanza kabla ya mtu kupewa dawa hiyo. Haya yamebainika kwenye kikao cha afya hapa Nairobi ambapo pia taha
Advertisement