Back to home

Wakulima wa maembe katika eneo la Mwingi kaunti ya Kitui sasa wanalalamikia hasara

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 24, 2026
1h ago
Wakulima wa maembe katika eneo la Mwingi kaunti ya Kitui sasa wanalalamikia hasara wakisema mazao yao yanaoza. Wakulima hao wanasema wamepata mavuno mazuri msimu huu wa maembe ila mazao yao yanaoza huku sasa wakitaka serikali kuwatafutia soko ili kuzuia hasara zaidi. Wakulima wa
Advertisement