Back to home
Murkomen aonya kuwa baadhi ya wahalifu wanatumia sekta ya boda boda kujificha na kutekeleza uhalifu
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 25, 2026
2h ago
Sekta ya boda boda imeingia tena katika mjadala mkali wa usalama baada ya Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen kuonya kuwa baadhi ya wahalifu wanatumia biashara hiyo kujificha na kutekeleza uhalifu mijini na hata kushiriki vurugu za kisiasa.
Subscribe to NTV Kenya chann
Advertisement
Advertisement





