Back to home

Shabana FC yabwaga Mathare United 1-0 kwenye Uwanja wa Nyayo

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 25, 2026
2h ago
Timu ya Shabana Fc ilipata bao kadika muda wa lala salama na kuibwaga Mathare united kwa bao 1-0 kwenye mechi ya ligi kuu katika uwanja wa kitaifa wa nyayo. Hii ilikuwa moja ya mechi tatu za ligi kuu kuchezwa hii leo
Advertisement