Back to home
Kamati ya usalama Samburu yawanasa washukiwa 10 wa wizi wa kimabavu Maralal
video
C
Citizen TV (Youtube)February 25, 2026
2h ago
Kamati ya usalama katika kaunti ya samburu imefanikiwa kuwanasa washukiwa kumi wa wizi wa kimabavu katika mji wa Maralal. Washukiwa hao wanakisiwa kuwa ndio wamekuwa wakiwahangaisha wafanyabiashara mjini humo viunga vyake.
Advertisement
Advertisement





