Back to home

Tana River: Vijana 500 wakikaribia kutimiza ndoto zao za ujasiriamali kupitia mpango wa BlueBiz

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 25, 2026
2h ago
Zaidi ya vijana 5,00 katika kaunti ya Tana River wako hatua moja karibu na kutimiza ndoto zao za ujasiriamali baada ya kushiriki zoezi la uwasilishaji wa mawazo ya biashara mbele ya wafadhili na taasisia za kifedha chini ya mpango wa biashara za uchumi bahari almaarufu BlueBiz.
Advertisement