Back to home

Mtu mmoja auwawa, wengine 10+ wakijeruhiwa baada ya kushambuliwa na nyuki Loikas, Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 26, 2026
3h ago
Mtu mmoja ameuawa baada ya kuumwa na nyuki huku wengine zaidi ya kumi wakichwa na majeraha kwenye tukio hilo eneo la Loikas, Maralal kaunti ya Samburu. Inaripotiwa kuwa nyuki hao walivamia wakazi huku maafisa wa usalama wakiwa na wakati mgumu hata kuutoa mwili wa marehemu
Advertisement