Back to home

Walimu wapinga uchaguzi wa katibu wa KNUT Yatta

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 27, 2026
2h ago
Walimu katika eneo bunge la Yatta wameandamana na kuzifunga Ofisi za KNUT tawi la Yatta wakidai kiongozi wao si mwalimu na aliongoza uchaguzi usio halali hivi majuzi na kuzuia walimu wengine kuwania nafasi hiyo.
Advertisement