Back to home
Wakulima wa kaunti ya Kitui washauriwa kupalilia mimea
video
C
Citizen TV (Youtube)February 27, 2026
2h ago
Wakati huu Mvua ya masika imeanza kunyesha katika sehemu mbali mbali nchini, wakulima katika kaunti ya Kitui wamehimizwa kuanza kupalilia mazao yao. Mkurugenzi wa idara ya utabiri wa Hali ya hewa wa Kitui, Daniel Mbithi, amesema mvua ya kutosha kukuza mimea itaendelea kunyesha ka
Advertisement
Advertisement




