Back to home
Ajali ya ndege Nandi: Miili ya waathiriwa 6 yasafirishwa Nairobi, akiwemo Johanna Ng'eno
video
C
Citizen TV (Youtube)March 1, 2026
2h ago
Maiti ya Mbunge wa Emurua Dikir Johana Ng'eno na watu wengine watano waliofariki kwenye ajali ya helikopta huko Mosop, Kaunti ya Nandi, imehamishwa hadi Makafani ya Lee hapa Nairobi. Awali Miili ya waathiriwa ilikuwa imepelekwa katika Makafani ya hospitali ya Moi, Eldoret saa cha
Advertisement
Advertisement




