Back to home

Khamenei afariki kwenye mashambulizi ya Marekani‑Israel

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 1, 2026
2h ago
Wizara ya mashauri ya kigeni sasa imetoa tahadhari kwa wakenya walio mataifa ya mashariki ya kati yanaokumbwa na msukosuko kufuatia mashambulizi ya Iran. Waziri Musalia Mudavadi akiwataka wakenya kufika kwenye ofisi za ubalozi wa Kenya mataifa hayo kujisajili. Na kama Ode Francis
Advertisement