Back to home

Ruto akashifu mashambulizi Ghuba, Kenya yaomba ushirikiano wa wadau kwa amani

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 2, 2026
2h ago
Rais William Ruto amekashifu mashambulizi dhidi ya mataifa ya ghuba akisema hatua hiyo ni tishio kwa usalama wa kimataifa. Kwenye taarifa, Rais Ruto amesema kuwa mashambulizi dhidi ya mataifa hayo yanayojumuisha himaya ya milki za kiarabu, Saudia Arabia na hata Qatar yanatia wasi
Advertisement