Back to home
Wasanii wamkumbuka Johana Ngéno kwa mchango wake kwenye sanaa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 2, 2026
2h ago
Wanamuziki wa jamii ya wakalenjin wameeleza huzuni yao kufuatia kifo cha mbunge wa Emurua Dikirr, Johanna Ngeno siku mbili zilizopita, wakisema alikuwa kwenye mstari wa mbele kukuza vipaji vya wanamuziki.
Advertisement
Advertisement



