Back to home
Walimu walalamika bima ya afya ya SHA, wanatoa ilani ya mgomo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 5, 2026
2h ago
Muungano wa walimu wa shule za upili nchini kuppet, umetoa ilani ya siku saba ya mgomo wakilalamikia mpango wa bima ya afya ya sha. Walimu hawa wanasema kuwa wamehangaika tangu walipohamishwa kwenye bima hii ya serikali. Wanalalamikia miongoni mwa matatizo mengine gharama ya chin
Advertisement
Advertisement




