Back to home
KUPPET yatoa makataa ya siku saba kwa SHA kurekebisha kasoro katika mfumo wake wa bima ya afya
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 5, 2026
3h ago
Chama cha walimu wa shule za upili nchini KUPPET kimetoa makataa ya siku saba kwa Mamlaka ya bima ya afya ya SHA kurekebisha kasoro katika mfumo wake wa bima ya afya kikisema mfumo huo hauwafai walimu licha ya wao kuwa miongoni mwa wachangiaji wakuu.
Subscribe to NTV Kenya chan
Advertisement
Advertisement




