Back to home
Ajali yatokea kwenye barabara ya Valley Nairobi na kusababisha mauti
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
7h ago
Mwendeshaji wa pikipiki alikwama chini ya gari aina ya Probox na kufariki papo hapo kwenye ajali iliyotokea leo asubuhi katika barabara ya Valley road karibu na mzunguko wa Integrity Centre.
Watu wengine wanane walijeruhiwa baada ya basi la abiria la city kupoteza mwelekeo n
Advertisement
Advertisement




