Back to home
Serikali kuwapiga faini papo hapo wanaovunja sheria za trafiki
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
8h ago
Mamlaka ya kitaifa ya usalama barabarani imetangaza kuanza kutekelezwa kwa faini ya papo hapo kwa madereva wanaovunja sheria za barabarani na magari yasiyo na vibali vinavyopaswa.
Advertisement
Advertisement


