Back to home

Tana River yazindua sera ya kupambana na ukatili wa kijinsia

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 10, 2026
1h ago
Wanawake katika kaunti ya Tana River kwa muda mrefu wamekuwa wakisubiri sera itakayowalinda dhidi ya ukatili wa kijinsia na kingono. Sasa matumaini yao yakianza kuonekana baada ya kaunti hiyo kwa ushirikiano na wadau mbalimbali kuzindua rasmi sera ya kupambana na ukatili wa kiji
Advertisement