Back to home
Sera ya mwongozo wa kusaidia waathiriwa wa dhuluma za kijinsia yazinduliwa Tana River
video
C
Citizen TV (Youtube)March 10, 2026
2h ago
Ni afueni kwa waathiriwa wa dhuluma za kijinsia baada ya serikali ya kaunti ya Tana River pamoja na mashirika ya kijamii kuzindua sera itakayotoa mwongozo wa jinsi waathiriwa wa dhulma hizo watakavyo shughulikiwa kisheria.
Akizindua sera hiyo mjini Hola, Waziri wa jinsia katika k
Advertisement
Advertisement





