Back to home
Serikali inapania kuongeza hekari za miwa Tana river
video
C
Citizen TV (Youtube)February 13, 2026
7h ago
Serikali inapania kuongeza hekari za miwa katika kaunti ya Tana River kutoka 75 hadi 450 baada ya jaribio la kilimo hicho eneo hilo kuonyesha matumaini.
Waziri wa maji Erick Mugaa ambaye alizuru shamba hilo amesema serikali itashirikiana na wawekezaji kuzalisha sukari kwenye heka
Advertisement
Advertisement





