Back to home
NTSA yajitetea kuhusu mfumo mpya wa kuwapiga faini Wakenya papo hapo wanapopatikana na hatia
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 10, 2026
2h ago
NTSA imejitetea kuhusu mfumo mpya wa kuwapiga faini Wakenya papo hapo wanapopatikana na hatia barabarani. Kulingana na Mkurugenzi Mkuu wa NTSA, Nashion Kondiwa, mfumo wa faini za papo kwa papo unatumia kamera za kisasa na una lengo la kuimarisha uadilifu katika sekta ya usafirish
Advertisement
Advertisement



