Back to home
Wakenya wapinga mfumo mpya wa NTSA wa kutozwa faini za papo kwa hapo
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Huku madereva wakitozwa faini za papo kwa hapo kwa kuendesha magari kupita mwendo unaohitajika jijini Nairobi, Wakenya zaidi wamekimbia kortini kupinga mfumo mpya wa NTSA unaonuia kuimarisha nidhamu barabarani.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ever
Advertisement
Advertisement




