Back to home
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko imefikia watu 49
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko ya ijumaa iliyopita sasa imefikia watu 49 kote nchini. Ripoti hii ya maafisa wa usalama inajiri huku zaidi ya familia 2,600 zikisalia bila makao kufuatia mafuriko ambayo pia yaliathiri vituo 16 vya polisi.
Advertisement
Advertisement





