Back to home

Shule nyingi za mashinani Kajiado hazina miundomsingi bora wa CBE

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
2h ago
Imebainika kuwa licha ya mtaala wa CBE kuingia gredi ya kumi mwaka huu , bado ukosefu wa Miundomsingi hasa katika shule za mashinani ni changamoto kuu katika kutekeleza mtaala huo ambapo shule nyingi hazina vifaa hitajika. Wakizungumza wakati wa kuzindua madarasa ya masomo ya sa
Advertisement