Back to home

Kisumu: Hoteli ya mfanyabiashara mashuhuri na mwanasiasa Irungu Nyakera yashambuliwa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 11, 2026
2h ago
Mfanyabiashara mashuhuri na mwanasiasa, Irungu Nyakera, alilazimika kufyatua risasi mbili hewani ili kuwatawanya zaidi ya watu 100 waliodaiwa kuwa wahuni waliovamia hoteli moja jijini Kisumu inayohusishwa naye. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and eve
Advertisement