Back to home
Kisumu: Hoteli ya mfanyabiashara mashuhuri na mwanasiasa Irungu Nyakera yashambuliwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Mfanyabiashara mashuhuri na mwanasiasa, Irungu Nyakera, alilazimika kufyatua risasi mbili hewani ili kuwatawanya zaidi ya watu 100 waliodaiwa kuwa wahuni waliovamia hoteli moja jijini Kisumu inayohusishwa naye.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and eve
Advertisement
Advertisement




