Back to home

Polisi wachunguza uvamizi wa hoteli ya Fairways Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
1mo ago
Polisi jijini Kisumu wameanza uchunguzi kuhusu uvamizi katika hoteli moja jijini humo, ambapo mali ya thamani isiyojulikana iliharibiwa. Mamia ya watu walifumania hoteli ya Fairways Jumatano asubuhi, ambapo walivunja vifaa mbali mbali na kuiba mali ya hoteli hiyo.

More on this topic

Irungu Nyakera's Hotel Attacked by Gang in Kisumu - March 2026

CCTV footage has captured armed individuals raiding the hotel owned by former Kenya Medical Supplies Authority (KEMSA) chairperson Irungu Nyakera in Kisumu. A gang of approximately 100 people reportedly vandalized the hotel on Wednesday morning, stealing valuable items. Former KEMSA chairperson Irungu Nyakera has condemned the attack by individuals described as goons. Police in Kisumu are investigating the raid where valuable items were destroyed.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement