Back to home
Polisi wachunguza uvamizi wa hoteli ya Fairways Kisumu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
7h ago
Polisi jijini Kisumu wameanza uchunguzi kuhusu uvamizi katika hoteli moja jijini humo, ambapo mali ya thamani isiyojulikana iliharibiwa. Mamia ya watu walifumania hoteli ya Fairways Jumatano asubuhi, ambapo walivunja vifaa mbali mbali na kuiba mali ya hoteli hiyo.
Advertisement
Advertisement




