Back to home

Wachezaji watatu wa Kenya warudi kutoka Lebanon baada ya ligi kusitishwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
2h ago
Mgogoro unaoendelea mashariki ya kati umeathiri shughuli mbalimbali ikiwemo michezo ambayo pia imesitishwa kwa sasa. Mwanaspoti wetu luqman Mahmoud amekutana na wachezaji wa Kenya wanaochezea klabu ya Nejmeh fc ya Lebanon ambao wamerudi nchini huku pia wakiomboleza kumpoteza koch
Advertisement