Back to home
Kilimo biashara: Wakulima Baringo wakuza nyasi kavu, hifadhi mbegu na kupunguza hasara
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Wakulima katika baadhi ya maeneo ya Kaunti ya Baringo kwa muda mrefu wamekumbwa na ukame wa mara kwa mara, hali iliyosababisha mifugo kuangamia kutokana na ukosefu wa malisho wakati wa kiangazi. Lakini katika eneo la Molo-Sirwe, Kaunti Ndogo ya Mogotio, kundi la wakulima sasa lim
Advertisement
Advertisement




