Back to home

Maraga azuru Murang’a na Kirinyaga, awarai vijana kujisajili kupiga kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
1w ago
Jaji Mkuu mstaafu na kinara wa UGM David Maraga, ameendelea kuwashinikiza vijana nchini kujisajili kama wapiga kura, ikiwa bado wana azma ya kuwang’atua viongozi aliotaja kuwa wafisadi ofisini.
Advertisement