Back to home
Ugonjwa usioeleweka unahagaisha familia Bomet
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
1h ago
Familia moja kutoka kijiji cha Leldaet kaunti ya Bomet inakabiliwa na dhiki kubwa ikijaribu kutafuta ufahamu wa ugonjwa usioeleweka ambao umewalemaza watoto watatu.
Inaarifiwa kuwa waathiriwa walianza kuwa na tabia zisizo za kawaida baada ya kuzaliwa. Baba ya watoto hao anasema k
Advertisement
Advertisement




