Back to home

Wanafunzi 23 Trans Nzoia wauguwa baada ya kula maembe shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 12, 2026
3h ago
Maafisa wa afya kaunti ya Trans Nzoia wanachunguza tukio ambapo wanafunzi 23 waliugua baada ya kula maembe shuleni. Wanafunzi hao wa darasa la nne katika shule ya Big Tree Comprehensive walianza kuumwa na tumbo baada ya kuripotiwa kula maembe hayo. Waliozidiwa walitibiwa hospita
Advertisement