Back to home
Wafugaji walioathiriwa na ukame wapewa fidia ya ngamia Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Ni afueni kwa wafugaji walioathirika na ukame pamoja na wizi wa mifugo kaunti ya samburu,baada ya serikali ya kaunti hiyo kuwapa fidia. Wafugaji hao wamepewa ngamia ili waendeleze ufagaji
Advertisement
Advertisement



