Back to home

Wafugaji wapewa mitambo ya kuhifadhi maziwa Tana River.

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 20, 2026
1h ago
Ni afueni kwa wafugaji wa ng'ombe wa maziwa katika kaunti ya Tana River baada ya serikali kuu kuwapa matenki ya kuhifadhi maziwa. Mradi huu utakaonufaisha wafugaji zaidi ya 600 pia utawezesha wafugaji hao kuepuka hasara wakati uzalishaji wa maziwa mengi na kuboresha hali ya usafi
Advertisement