Back to home
Taasisi ya uhuru Somaliland
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
1h ago
Huku mjadala wa kutambuliwa na nchi zaidi duniani ukiendelea nchini Somaliland, Rais Abdirahman Mohamed azindua taasisi ya uhuru na kutambuliwa ili kukuza historia, hoja za kisheria na siasa jijini Hargeisa za kushabikia nchi hiyo kujitawala.
Advertisement
Advertisement





