Back to home
Wizi wa mifugo wawachochea wafugaji kugeukia kilimo Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti ya Samburu imezindua mpango wa kusambaza mbegu kwa wakulima huku wakazi wakitakiwa kukumbatia kilimo kama njia mbadala ya kujihakikishia utoshelevu wa chakula badala ya kutegemea mifugo peke yake.
Advertisement
Advertisement





