Back to home

Wasiwasi bandarini Lamu kufuatia mzozo Marekani-Iran

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Hofu imeibuka kuhusu uwezekano wa msongamano katika bandari za kenya, kufuatia mgogoro kati ya marekani, israel na iran. Hii ni baada ya meli mbili kutia nanga katika bandari ya lamu baada ya kushindwa kufika kwenye bandari ya jebel nchini saudi arabia. Mkurugenzi wa bandari kapt
Advertisement