Back to home
Wasiwasi waongezeka kufuatia wizi kwenye mikahawa Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 5, 2026
1h ago
Wasiwasi umeibuka Kaunti ya Nairobi kufuatia visa vya wizi, hasa kwenye mikahawa. Kisa cha punde ni katika eneo la Westlands, ambapo wezi waliojihami kwa bastola waliiba simu saba na kipakatalishi. Polisi sasa wameanzisha uchunguzi wa kisa hicho kilichonaswa kwenye kamera za CCTV
Advertisement
Advertisement





