Back to home
Viongozi wa Kenya Kwanza wampigia debe Ruto Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)July 5, 2026
1h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamempigia debe Rais William Ruto na kuwataka wenyeji wa Bungoma kumchagua kwa muhula wa pili. Viongozi hao aidha wamewakosoa viongozi wa upinzani kwa kuwapotosha Wakenya na kueneza siasa za chuki.
Advertisement
Advertisement





