Back to home
Mwanaharakati awasilisha ilani ya maandamano ya Saba Saba
video
C
Citizen TV (Youtube)July 5, 2026
1h ago
Mwanaharakati mmoja amewasilisha ilani ya kufanya maandamano ya Saba Saba siku ya Jumanne, ambapo zaidi ya watu elfu tatu wanatarajiwa kushiriki jijini Nairobi.
Ilani hiyo iliyowasilishwa kwa Inspekta Jenerali wa Polisi imeorodhesha masuala watakayozingatia, ikiwemo ongezeko la
Advertisement
Advertisement





