Back to home
| Kilimo biashara | Magonjwa ya mifugo yasalia vitisho Kajiado |
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Magonjwa ya mifugo bado ni mojawapo ya vitisho vikubwa zaidi kwa riziki za wafugaji katika maeneo kame humu nchini. Katika Kaunti ya Kajiado, juhudi mpya zinazolenga kuimarisha huduma kwa mifugo na kushughulikia magonjwa zinaisaidia jamii kulinda mifugo wao na kuongeza uzalishaji
Advertisement
Advertisement




