Back to home
Mahakama yasitisha mnada wa mali ya Raphael Tuju, kesi itasikilizwa Aprili 7
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Mahakama kuu leo imesitisha kwa muda kupigwa mnada kwa mali ya waziri wa zamani Raphael Tuju iliyoko mtaa wa Karen kaunti ya Nairobi, mpaka pale kesi inayohusisha mali hiyo itakaposikizwa na kuamuliwa
Advertisement
Advertisement




